III: Afrika Kuanzia Karne ya Saba Hadi ya Kumi na Moja

III: Afrika Kuanzia Karne ya Saba Hadi ya Kumi na Moja

I. Hrbek
Sukakah Anda buku ini?
Bagaimana kualitas file yang diunduh?
Unduh buku untuk menilai kualitasnya
Bagaimana kualitas file yang diunduh?
Kipindi kinachojadiliwa katika Juzuu la III kimezingatia uhamiaji wa aina mbili ambao ulikuwa na umuhimu mkubwa na wa kudumu kwenye historia ya Afrika. Athari ya Uislamu ilikuwa inaongezeka upande wa kaskazini na magharibi; ilikuwa ikiingiliana na utamaduni asilia wa Kiafrika. Upande wa kusini kulikuwa na upanukaji wa WaBantu.
Kitabu hiki kwanza kinaweka Afrika katika muktadha wa historia ya dunia mwanzoni mwa karne ya saba, kabla ya kuchambua athari za upenyaji wa Kiislamu, kuendelea kwa upanukaji wa watu wanaozungumza Kibantu, na ukuaji wa ustaarabu kwenye kanda za Kisudani za Afrika Magharibi.
Sura zinazojadili kwa undani zinafuata zikizungumzia nasaba mfululizo za Kiislamu za Afrika Magharibi na mawasiliano mapana ya nasaba hizo na sehemu zingine, Unubi ya Wakristo, staarabu za savana, maeneo ya misitu na Pwani ya Afrika Magharibi, Pembe ya Afrika, Pwani ya Afrika Mashariki na bara, Afrika ya Kati, Kusini mwa Afrika, na maendeleo ya ndani ya Madagaska pamoja na mawasilino ya Kimataifa.
Sura tatu za hitimisho zinafuatilia utawanyikaji wa Waafrika huko Asia, zinachunguza uhusiano wa kimataifa na usambaaji wa teknolojia na mawazo ndani ya Afrika, na kupima athari ya jumla ya kipindi hicho kwa historia ya Afrika.
Kategori:
Jilid:
3
Tahun:
1999
Penerbit:
TUKI, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam / UNESCO
Bahasa:
kikuyu
Halaman:
453
ISBN 10:
9976911327
ISBN 13:
9789976911329
Nama seri:
Historia Kuu ya Afrika, Juzuu Lililofupishwa
File:
PDF, 16.67 MB
IPFS:
CID , CID Blake2b
kikuyu, 1999
Membaca daring
Pengubahan menjadi sedang diproses
Pengubahan menjadi gagal

Istilah kunci